Kigango cha “Bikira Maria Mkingiwa Dhambi ya Asili” Magulilwa.

KANDA MAGULILWA

Kanda ya Magulilwa ina vigango sita (6) na idadi ya maketekista kumi na tano (15) idadi ya JNNK thelathini na tano (35) na viongozi wa Halmashauri ya Walei thelathini (30). Katika kanda kuna makanisa sita (6) yaliyo kamilika.

Makatekista

  1. Damas Mkane,
  2. Benedict Matinya,
  3. Salome Mbunju, na
  4. Henry Mpesa.

Viongozi wa Halmashauri ya Walei

  • Jina: Yustin Malata
    Nafasi: Mwenyekiti
    Mawasiliano: 0629 270 833
  • Jina: Zaulo Myovela
    Nafasi: Katibu
    Mawasiliano: 0624 307 632
  • Jina: Ibrahimu Lukova
    Nafasi: Makamu Katibu
    Mawasiliano: 0676 575 815
  • Jina: Ezekiel Mpesa
    Nafasi: Makamu Mwenyekiti
    Mawasiliano: 0624 302 094
  • Jina: Upendo Lunyungu
    Nafasi: Mhasibu
    Mawasiliano: 0768 728 078.

Jumuiya Ndogo Ndogo za Kikristo

  • Jumuiya ya Mtakatifu Paulo.
    Mwenyekiti: Mathayo Mhanga,
    Makamu Mwenyekiti: Yustina Matinya,
    Katibu: Georgina Samila,
    Makamu Katibu: Patricia Kutika,
    Mhasibu: Kalina Samila.
  • Jumuiya ya Mtakatifu Maria Goleti.
    Mwenyekiti: Stephen Mdemu,
    Makamu Mwenyekiti: Eliud Mhangala,
    Katibu: Upendo Lunyungu,
    Makamu Katibu: Deo Malata,
    Mhasibu: Adelina Kihongosi.
  • Jumuiya ya Mtakatifu Petro,
    Mwenyekiti: Ibrahimu Lukova,
    Makamu Mwenyekiti: Erenesti Chahe,
    Katibu: Jenipha Kinyaga,
    Makamu Katibu: Oliva Ulanga,
    Mhasibu: Monica Utenga.
  • Jumuiya ya Mtakatifu Yohane Mbatizaji.
    Mwenyekiti: Erasto Mhanga,
    Makamu Mwenyekiti: Emerita Malata,
    Katibu: Nestory Mhanga,
    Makamu Katibu: Frank Chaula,
    Mhasibu: Victory Mhanga.
  • Jumuiya ya Mtakatifu Joseph.
    Mwenyekiti: Ezekiel Mpesa,
    Makamu Mwenyekiti: Katalina Mdemu,
    Katibu: Augusta Chaula,
    Makamu Katibu: Erasto Mhangala,
    Mhasibu: Prisca Ndambo.
  • Jumuiya ya Mtakatifu Crelia.
    Mwenyekiti: Fulgensia Malata,
    Makamu Mwenyekiti: Agnes Utenga,
    Katibu: Veronica Kihongosi,
    Makamu Katibu: Stephen Fweni,
    Mhasibu: Marsela Ngogo.
  • Jumuiya ya Mtakatifu Don Bosco,
    Mwenyekiti: Siprian Mhanga,
    Makamu Mwenyekiti: Obadia Kihongosi,
    Katibu: Zaulo Myovela,
    Makamu Katibu: Antoni Mhimba,
    Mhasibu: Joyce Matinya.
  • Jumuiya ya Mtakatifu Secilia.
    Mwenyekiti: Edward Mdemu,
    Makamu Mwenyekiti: Ernesti Kasike,
    Katibu: Laurent Mgata,
    Makamu Katibu: Katarina Kihongosi,
    Mhasibu: Yosepha Sanga.