LOGO NYABULA PARISH Transparent

Karibu Parokia ya Nyabula.

Pd. Emil I. Kindole 
 PAROKO NYABULA

Welcome to the Diocese of Iringa Official Website. For Events and News CLICK button below…

Nyabula

Nyabula

Events and News

Parokia ya Kihesa Jimbo Katoliki la Iringa

MHASHAMU Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa amezindua Yubilei ya Miaka 50 ya Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) kwa Jimbo la yaliyoadhimishwa kwenye Kanisa Kuu la Kiaskofu la Moyo Mtakatifu wa Yesu Parokia ya Kihesa.

Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa wa Jimbo Katoliki la Iringa hivi karibuni amezindua

 
events4

Zaidi ya watoto 700 wabatizwa Parokia ya Kihesa

Zaidi ya watoto 700 kutoka katika vigango saba (7) vya Parokia ya Kihesa 

 

Zaidi ya watoto 700 wabatizwa Parokia ya Kihesa

Zaidi ya watoto 700 kutoka katika vigango saba (7) vya Parokia ya Kihesa 

 

Zaidi ya watoto 700 wabatizwa Parokia ya Kihesa

Zaidi ya watoto 700 kutoka katika vigango saba (7) vya Parokia ya Kihesa 

 

Zaburi 4:1

Ee Mungu wa haki yangu, uniitikie niitapo; Umenifanyizia nafasi wakati wa shida; Unifadhili na kuisikia sala yangu.

Join Our Mission to
Improve The Future For all

The diocese of Iringa gained a new experience and awareness of the whole message of the Church in our day. And that Message is to spread the Word of God, to sanctify and lead men to Christ so that God may be all in all.

Engaging God's world
through faith.

Romans 10:9 If you declare with your mouth, “Jesus is Lord,” and believe in your heart that God raised him from the dead, you will be saved.

Donate
Now

Teach A
Class

Be A
Volunteer

Sponsor
A Project

Maaskofu na Mapadre - Jimbo la Iringa

Si ninyi mlionichangua mimi, bali ni mimi niliyewachagua ninyi . Yn 15:16

Askofu Attilio Betramino, I.M.C

Askofu wa Kwanza, 1935/ 1965

Askofu Mkuu Mario A. Mgulunde

Askofu wa pili, 1970/ 1985

Askofu Mkuu Nobert W. Mtega

Askofu wa Tatu, 1985/ 1992

P. Titus Fumbe

Upadrisho Tosamaganga, 15/08/1945.  Kurudi kwa Baba 29/11/1979.

P. Roderigo Kilongumtwa

Upadrisho Tosamaganga, 15/08/1947.  Kurudi kwa Baba 13/09/1988.

P. Henry Chelula

Upadrisho Tosamaganga, 15/08/1951.  Kurudi kwa Baba 06/03/1983.

P. Benedict Mponzi

Upadrisho Tosamaganga, 15/08/1952.  Kurudi kwa Baba 06/12/1981.

P. Joseph Kibegenza

Upadrisho Tosamaganga, 17/01/1954.  Kurudi kwa Baba 30/03/2002.

IMG_20210622_152108_219

P. Charles Mpesa

Upadrisho Tosamaganga, 17/01/1954.  Kurudi kwa Baba 09/08/2008.

P. Alois Kililimbi

Upadrisho Tosamaganga, 18/08/1956.  Kurudi kwa Baba 22/12/2003.

P. Anthony Chonya

Upadrisho Malangali, 15/08/1957.  Kurudi kwa Baba 23/01/2015.

P. Stanislaus Daki, V.G.

Upadrisho Malangali, 15/08/1959.  Kurudi kwa Baba 17/04/2003.