Kwaresima ni Kipindi cha kusali, kufunga na kutoa Sadaka.

Kwaresima ni Kipindi cha kusali, kufunga na kutoa Sadaka.

Kwaresima ni Kipindi cha kusali, kufunga na kutoa Sadaka. Tunamshukuru Mkristo mmoja ambaye katika kutekeleza dhana ya utoaji, amewasaidia wazee wasiojiweza wa kigango cha Ihimbo wapatao arobaini (40). Tumefaulu kununua gunia 17@70,000/= za mahindi kwa jumla ya kiasi cha fedha ya kitanzania Tsh. 1,190,000/= na debe 10@40,000/= za maharage kwa jumla ya kiasi cha fedha…

Ujenzi wa Kanisa Malulumo

Ujenzi wa Kanisa Malulumo

Jumuiya ya Kikatoliki ya Malulumo iliona umuhimu wa kuwa na mahali pa kukusanyika ili kusherehekea imani yao tangu mwaka 2011. Kwa ajili hiyo waliamua kuomba darasa la shule ya msingi litumike kwa ajili ya maombi na ibada za Jumapili na wakati wowote watakapohitaji kujumuika pamoja. kwa maombi na utoaji wa Sakramenti.Baada ya hapo, waamini walei…

|

Jimbo Katoliki la Iringa lapata mapadre wapya wanne (4) .

Daraja Takatifu la Upadrisho limetolewa na Mhashamu Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa wa Jimbo  Katoliki la Iringa ambako ibada  imefanyika kwenye viwanja vya Kanisa Kuu la Kiaskofu la Moyo Mt. Wa Yesu Parokia ya Kihesa, siku ya Alhamisi tarehe 26, Agosti 2021. Adimisho hilo lilitanguliwa na ibada ya masifu jioni ambapo mashemasi hao waliweka viapo siku…